WATUMIAJI WA ADSENSE NJIA YA KUPIGA PESA NYINGI KWA SIKU HII HAPA | HUDI TRICKS

Niaje wakuu

leo nimekuja na somo kuhusu adsense na jisi inavyofanya kazi najua neno adsense sio geni katika masikio yetu .Baada ya watu wengi kulalamika kuhusu RPM (Page Revenue Per Thousands Impesions) kuwa chini Nilipata suluhisho na Mpaka sasa RPM kwangu Haisumbui kbs nilijiunga na magroup ya Nje hivyo nashare link za Habari zangu huku na RPM iko Juu kwa wale wasiojua nitalezea RPM inafanyaje kazi

Mfano ukiwa na RPM 8.60 ukawa na Pageviews kwenye Blog kama 6K utakuwa na Dola ngap kwanza unachukua RPM unazidisha kwa Viewers ulionao alafu unagawanya kwa 1000 unatapa dola zako mfno (8.6x6000)/1000 = 51.6 USD nilimuuzia jamaa yangu mmoja Nigeria amenitumia Result za RPM yake kama ifuatavyo



A Place Where You Get All kinds Of Tips And Tricks.

Nipe maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Khalid Riyad
huditricks.blogspot.com

Post a Comment

 
Top