Jinsi ya ku-root simu za Android | HUDI TRICKS

Habari wapendwa nipo pamoja nanyi mpaka kieleweke leo tuzungumzie japo kwa uchache maelezo ya kufanya Root kwenye simu zetu za android 
kabla ya kuanza kuroot simu yako kutabatilisha warranty na muuzaji wako aliyekuuzia , pi root at your  own risk i will not be hold responsible for any negative outcomes



ANDROID ROOTING NI NINI?
Ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones, Tablet na vifaa vingine vinavyotumia Oparetion sysetm ya android kupata uwezo  kukiendesha kifaa au simu ya android katika kiwango cha hali ya juu
Rooting mara nyingi hutumika kwa lengo la kuondo overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android 

FAIDA ZA KU-ROOT
Rooting ina faida nyingi kama vile kubadiri ROOM, Kuinstall  system  installed app ku install apps ambazo zinahitaji root  access kama vile TITANIUM BACK UP

JINSI YA KUROOT
Ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu , hapa nitakupatia njia za ku root baadhi ya simu na baadhi ya vision za android

1) Huawei Idoes U8150
  • wengi wetu tuna miliki simu aina hii HUAWEI IDOES U8150 simu ya aina hii ni rahisi sana fuata utaratibu huu


Kisha zima simu yako kisha iwashe utakuta app inayoitwa SuperUser imeongezeka mpaka hapo utakuwa umesha root simu yako ya HUAWEI IDOES U8150


Natumai tutakuwa tumepata mwanga japo kwa uchache kuhusu Rooting kwenye simu zetu za android kama unaswali au maoni niachie hapo kwenye sanduku la maoni

A Place Where You Get All kinds Of Tips And Tricks.

Nipe maoni yako hapa chini

Facebook Blogger Plugin by Khalid Riyad
huditricks.blogspot.com

Post a Comment

 
Top